Tangaza Biashara Yako Hapa

THIS BLOG IS SPONSORED BY WWW.BONGLOB.COM JOB &socialnetwork,THE LEADING NETWORK IN THE WORLD. FEEL FREE TO ADVERTISE HERE,Email:james@bonglob.com

Saturday, May 19, 2012

Thursday, May 10, 2012

Tuesday, May 10, 2011

MAPAMBO YA PINI USONI....




Jamaa akiwa amejipamba pini usonia...nilikutana nae mtaa wa uhindini mjini Iringa, lakini ndo hivyo hakuniambia sababu ya kujipamba kwa aina hiyo...

Mapacha waliounga....


Tumebeba mshumaaaa....

Kweli Mungu wa Ajabu.....


Hwa ni watoto mapacha walioungana, Maria na Konsolata. Nawapenda sana sana...kwa sababu ni wacheshi na kamwe ukibahatika kukutana nao...lazima uwapende....

Tuesday, May 3, 2011

Osama bin Laden: Why America had to kill bin Laden rather than put him on trial


US Bin Laden Mission Graphic (Pic:DM)
OSAMA bin Laden became the world’s most hunted man in the aftermath of 9/11 as President George Bush memorably drawled: “Wanted. Dead or alive.”
Two years later when that other murderous fugitive Saddam Hussein was dragged like a rat from his hole and paraded before the cameras – it seemed only a matter of time before bin Laden was also caged.
And yesterday President Barack Obama proudly told how he had authorised the operation “to get Osama bin Laden and bring him to justice.
But it soon became clear that the orders given to the special forces who had tracked the al-Qaeda mastermind to his ­fortified compound in Pakistan were a lot more specific than that.
“This was a kill operation,” a national security official later revealed to US journalists. The target was taken out with a bullet to the head by a US Navy Seal.
There was never any question of bin Laden being captured – because he was the Impossible Prisoner. As former British ambassador to the US Sir Christopher Meyer said: “If he were alive and taken prisoner, what the hell would they do with him?” Three months ago the CIA director Leon Panetta told a Senate intelligence committee hearing what could happen.
He said bin Laden would “probably” be sent to Guantanamo Bay if captured

Monday, May 2, 2011

Mh.Amos Makala akiwa Na rafiki yake kipenzi Nd.james Ahadi

Ndugu James A.Obedi akiwa na rafiki yake mkuu Mh. Bwana Amos Makala  MBUNGE WA MVOMERO kabla hajachaguliwa kua mbuge wakiwa nchini uingereza.bwana James inasemekana kwamaba hawa majaa ni marafiki kweli hata huwezi watenganisha kabisaaa.habari hizi tulizipata wazi wazi hivi juzi na picha yao wakati wa kapeni za chinichini zilizo anzia huko uk amabazo zilimletea Mh.Makala mafanikio makubwa sana.

Monday, April 25, 2011

Tupo Darasani....



Wanafunzi wa shule ya Msingi Kisasambambo, wakisomea chini ya mti hii ni baada ya kuwapisha walimu wao ambao wanaishi darasani kwa kukosa nyumba za kuishi.

Saturday, April 23, 2011

NIMEREJEA WAJAMENI...

Nimerudi upya ndugu zangu...nafufukia umasaini katika kikao maalum cha Waee wa kimasai. Nilialikwa tu japo kilikuwa cha Wanaume.

Friday, February 12, 2010

MSIPITE BILA KUTULIPA...



Watoto wakitengeneza barabara inayoenda Mbuga za wanyama ya Ruaha ambao imejaa mashimo licha ya kuwa inategemewa kwa utalii. Hulipwa ujira wa sh 150 kwa kila gari linalopita

Sunday, January 3, 2010

BURIANI SIMBA WA VITA...

..Buriani Mzee wetu Rashid Mfaume Kawawa. Mungu ailaze mahali pema Roho yako. Amina

Saturday, January 2, 2010

AJIRA..


Mtoto akiokota mawe pembezoni mwa barabara ya mlima Ipogolo kwa ajili ya kuponda kokoto za kuuza ili apate fedha za kujikimu.

Helooooooooooo

..PD wa Ebony fm Bonny Slaa, kiduchu pamoja nami tukijipongeza kuuanza mwaka 2010....

Hongereni kwa kuuanza mwaka 2010...


Najua kuna meeeeengi umepanga kuyafanya mwaka huu wa 2010...nakutakia Mafanikio mema na Mungu awe nawe!!!!!!!! Happy new year

Friday, December 18, 2009

UKATILI HUU MPAKA LINI?


Jamani haki za watoto zipo wapi? fikiria kama ungekuwa wewe!

Saturday, December 5, 2009

ULANZI MTAMU! KWA HUU IRINGA TUTAEPUKA UKIMWI?




Moja ya sababu za kuongezeka kwa maambukizi ya Ukimwi Iringa na ulevi wa pombe ya Ulanzi. Nilitembelea kilabu cha Pombe cha Igumbilo na kuhsuhudia jinsi pombe hiyo inavyobadili akili za watu! nakubaliana na hilo bwana Ulanzi na bwana Uzinzi wapo bega kwa bega, Kwa hali hii tutazidi kuonekana vishoka kwa kasi ya Ukiwmi...

Nina VVU miaka 10 sasa



Da Lydia Rwechungura, mwanadada aliyeishi na VVU kwa miaka 10. Siri ya mafanikio yake ni Mungu, kuacha pombe, ngono zembe na anatimiza mashari yote anayoshauriwa. Mwaka juzi kajifungua mapacha wazima wa afya tele. Wao na baba yao hawana maambukizi.

Unaweza kutembea peku?


Shemasi Paul, Mkazi wa Pomerini, Kilolo alieamua kutembea peku peku tangu 1975 ili afanane na wananchi maskini. Kila mwaka anatumia 20, milioni kusomesha yatima, anawasaidia wajane na amejenga shule, hospitali na anatoa misaada kwa wenyeshida. Unaweza hii