Ndugu James A.Obedi akiwa na rafiki yake mkuu Mh. Bwana Amos Makala MBUNGE WA MVOMERO kabla hajachaguliwa kua mbuge wakiwa nchini uingereza.bwana James inasemekana kwamaba hawa majaa ni marafiki kweli hata huwezi watenganisha kabisaaa.habari hizi tulizipata wazi wazi hivi juzi na picha yao wakati wa kapeni za chinichini zilizo anzia huko uk amabazo zilimletea Mh.Makala mafanikio makubwa sana.
No comments:
Post a Comment