Tangaza Biashara Yako Hapa

THIS BLOG IS SPONSORED BY WWW.BONGLOB.COM JOB &socialnetwork,THE LEADING NETWORK IN THE WORLD. FEEL FREE TO ADVERTISE HERE,Email:james@bonglob.com

Saturday, December 5, 2009

ULANZI MTAMU! KWA HUU IRINGA TUTAEPUKA UKIMWI?




Moja ya sababu za kuongezeka kwa maambukizi ya Ukimwi Iringa na ulevi wa pombe ya Ulanzi. Nilitembelea kilabu cha Pombe cha Igumbilo na kuhsuhudia jinsi pombe hiyo inavyobadili akili za watu! nakubaliana na hilo bwana Ulanzi na bwana Uzinzi wapo bega kwa bega, Kwa hali hii tutazidi kuonekana vishoka kwa kasi ya Ukiwmi...

No comments: